Home Top Ad

Responsive Ads Here

Simu ya Adolf Hitler kupigwa mnada

Simu iliyokuwa ikitumiwa na Adolf Hitler wakati wa vita vikuu vya pili vya Dunia itapigwa mnada nchini Marekani mwisho mwa juma hili.
Simu hiyo nyekundu iliyo na chapa cha jina la kiongozi huyo wa Wanazi, ilipatikana katika ngome ya Hitler jijini Berlin mwaka 1945.
Wanajeshi wa Urusi walimpa mwanajeshi wa Uingereza, Brigedia Sir Ralph Rayner, kama kito cha kumbukumbu, muda mfupi baada ya Ujerumani kukubali kushindwa katika vita hivyo.

Kampuni hiyo ya mnada iliyoko Maryland, ilisema kuwa shughuli za mnada zitaanza kwa bei ya Dola 100,000.
Simu ya Adolf Hitler kupigwa mnada Simu ya Adolf Hitler kupigwa mnada Reviewed by pongwa trading on 02:33:00 Rating: 5

No comments

Recent