Home Top Ad

Responsive Ads Here

Mkuu wa majeshi afutwa kazi Gambia


Rais wa Gambia Adama Barrow amemfuta kazi mkuu wa majeshi Jenerali Ousman Badjie.
Jenerali Badjie alitangaza utiifu wake kwa rais aliyeondoka madarakani Yahya Jammeh baada ya uchaguzi wa Disemba ulioleta vuta nikuvute.
Hata hivyo, chini ya amri yake, jeshi halikutoa msaada wowote pindi vikosi kutoka nchi za Afrika Magharibi vilipoingia nchini Gambia mwezi jana.
Vikosi hivyo vilifanikiwa katika kumshawishi bwana Jammeh kukubali kushindwa na kuondoka nchini.
Mkuu wa majeshi afutwa kazi Gambia Mkuu wa majeshi afutwa kazi Gambia Reviewed by pongwa trading on 21:20:00 Rating: 5

No comments

Recent