Home Top Ad

Responsive Ads Here

Mhubiri awapa waumini dawa ya kuua panya Afrika Kusini

Mhubiri mmoja nchini Afrika Kusini amekuwa akiwapa waumini sumu ya kuua panya kama moja ya njia ya kujaribu imani yao.
Light Monyeki, ambaye anaongoza kanisa la Grace Living Hope Ministries mjini Pretorria, anasema kuwa kwa kunywa sumu hiyo, inaonyesha kuwa kifo hakina nguvu kwa waumini.
Picha kwenye ukurasa wake wa Facebook, zinamuonyesha akichanganya dawa inayotumiwa kuua panya wa chupa na kuinywa na kisha kuwapa waumini.
Bwana Monyeki ni mhubiri wa hivi majuzi kuripotiwa kuhusika na visa vyenye utata kanisani.

Mhubiri awapa waumini dawa ya kuua panya Afrika Kusini Mhubiri awapa waumini dawa ya kuua panya Afrika Kusini Reviewed by Unknown on 00:46:00 Rating: 5

No comments

Recent