Home Top Ad

Responsive Ads Here

JUKWAA LA WAHARIRI LATANGAZA KUTOKUFANYA KAZI NA RC WA DAR

Kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwenda katika ofisi za Clouds Media akiwa na askari waliokuwa na silaha za moto, Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limetaja hatua ambazo limechukua kwa kitendo hicho cha RC.
TEF imetangaza kuchukua hatua tatu ambazo ni kulaani kitendo hicho, kukubaliana kutoandika au kutangaza habari zozote ambazo zinamhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar na kumtangaza kuwa adui wa uhuru wa habari.
Zaidi waweza kusoma taarifa ya TEF.
JUKWAA LA WAHARIRI LATANGAZA KUTOKUFANYA KAZI NA RC WA DAR JUKWAA LA WAHARIRI LATANGAZA KUTOKUFANYA KAZI NA RC WA DAR Reviewed by Unknown on 10:01:00 Rating: 5

No comments

Recent